Jimmy Jam na Terry Lewis

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

James Samuel "Jimmy Jam" Harris III (amezaliwa mnamo 6 Juni 1959, mjini Minneapolis, Minnesota) na Terry Steven Lewis (amezaliwa mnamo 24 Novemba 1956, mjini Omaha, Nebraska) ni watayarishaji wa muziki wa R&B na pop, na watunzi kutoka nchini Marekani. Wanafahamika zaidi kwa kushirikiana sana na msanii wa kike Bi. Janet Jackson. Watayarishaji hawa, walitamba sana kuna miaka ya 1980 na wamefanyakazi na wasanii kibao.

Ukweli wa haraka Jina la kuzaliwa, Aina ya muziki ...
Remove ads

Historia

Discografia

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads