Jimmy Jam na Terry Lewis
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
James Samuel "Jimmy Jam" Harris III (amezaliwa mnamo 6 Juni 1959, mjini Minneapolis, Minnesota) na Terry Steven Lewis (amezaliwa mnamo 24 Novemba 1956, mjini Omaha, Nebraska) ni watayarishaji wa muziki wa R&B na pop, na watunzi kutoka nchini Marekani. Wanafahamika zaidi kwa kushirikiana sana na msanii wa kike Bi. Janet Jackson. Watayarishaji hawa, walitamba sana kuna miaka ya 1980 na wamefanyakazi na wasanii kibao.
Remove ads
Historia
Discografia
Marejeo
Viungo vya Nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads