Mtete
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mtete au gugumua (Phragmites australis) ni aina ya nyasi refu linalomea katika maji kame. Jina hili hutumika pia kwa manyasi marefu yoyote ya maji. Aina za mimea ya maji zinazofanana na mtete huitwa mifunjo (familia Cyperaceae). Jenasi Phragmites inafikiriwa na bingwa wengi ya kuwa na spishi moja tu, lakini spishi nyingi zimefafanuliwa. Spishi moja, P. karka, husadikiwa sana.
Jina matete hutumika pia kwa manyasi haya, lakini inapendelewa kutumia jina hili kwa mazao yao. Matete hutumika duniani kote kwa kuvimba mapaa.
Remove ads
Picha
- Masuke
- Maua
- Mitete majini
- Nyumba yenye paa la matete
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads