The Walt Disney Company
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
The Walt Disney Company (huitwa kwa kifupi: Disney) ni moja kati makampuni makubwa ya burudani na vyombo vya habari duniani.

Kampuni ilianzishwa mnamo mwaka wa 1923 na Walt Disney na ndugu yake, Roy Oliver Disney, kwa jina la Disney Brothers Cartoon Studio.[1]
Ilikuwa na jina la Walt Disney Productions kuanzia miaka ya 1930 na hadi mwanzoni mwa mwaka wa 1986.
Disney Enterprises Inc. ni kampuni tanzu ya Walt Disney; jina ambalo linapatikana katika bidhaa nyingi zilizopewa haki ya kuuza chini ya jina la Walt Disney, Walt Disney World Resort.
Remove ads
Matawi
Vitengo vikuu vya kampuni ni Studio Entertainment, Vituo vya Maonyesho na Mahoteli, Mitandao ya Habari na Bidhaa za Zilizotayari Kununuliwa.
Tazama pia
- Orodha ya wahusika wa Disney
Marejeo
Viungo vya Nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads