Thelonious Monk
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Thelonious Monk (10 Oktoba 1917 – 17 Februari 1982) alikuwa mwanamuziki wa Marekani. Alikuwa anapiga muziki ya jazz. Mwaka wa 2006 alituzwa tuzo maalumu ya Tuzo ya Pulitzer ya Muziki kwa kazi ya maisha yake, yaani baada ya kifo chake.
Remove ads
Muziki
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads