Theobadi wa Dorat

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Theobadi wa Dorat (La Bazeuge, 990 hivi - Dorat, 6 Novemba 1070) alikuwa kanoni wa Dorat, aliyepewa kazi ya kusimamia kanisa akawa maarufu kwa sababu hakuliacha kamwe, isipokuwa kwa kutembelea na kuhudumia wagonjwa[1][2] [3].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu padri au shemasi.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Novemba[4].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads