Theodoreto wa Antiokia
Mtakatifu Anatolia From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Theodoreto wa Antiokia (alifariki Antiokia, leo nchini Uturuki, 22 Oktoba 362[1]) alikuwa padri aliyefia imani ya Ukristo kwa kufungwa na hatimaye kukatwa kichwa wakati wa dhuluma ya kaisari Juliani Mwasi wa Dola la Roma[2][3].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads