Thoma wa Cori

From Wikipedia, the free encyclopedia

Thoma wa Cori
Remove ads

Thoma wa Cori (jina la kuzaliwa: Francesco Antonio Placidi; Cori, Latina, 4 Juni 1655 - Bellegra, Roma, 11 Januari 1729) alikuwa padri na mhubiri maarufu wa shirika la Ndugu Wadogo aliyeanzisha makao mbalimbali upwekeni na kuishi kwa toba kali huko Italia ya Kati [1][2].

Thumb
Sanamu ya Thoma wa Cori.
Thumb
Thoma wa Cori akielea hewani (sehemu ya mchoro wa mwaka 1786).

Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu tangu tarehe 21 Novemba 1999, alipotangazwa na Papa Yohane Paulo II.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads