Timothy Apiyo

Mwanasiasa wa Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Timothy Apiyo (1930 - 10 Juni 2013) alikuwa mwanasiasa na Katibu Mkuu Kiongozi [1] nchini Tanzania .[2]

Elimu

Timothy Apiyo alizaliwa katika wilaya ya Tarime mwaka 1930, mwaka 1959 alipata shahada ya Kilimo katika Chuo Kikuu cha Makerere.

Kifo

Apiyo alifariki dunia mwaka 2013 kwa ugonjwa wa mapafu nchini Afrika Kusini [3].

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads