Tlaxcala (jimbo)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Tlaxcala (jimbo)
Remove ads

Tlaxcala (IPA: [tlasˈkala]) ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexiko upande wa kati ya nchi. Mji mkuu ni Tlaxcala na mji mkubwa ni Vicente Guerrero.

Thumb
Tlaxcala, Mexico
Thumb
Bendera ya Tlaxcala
Thumb
Mahali pa Tlaxcala katika Mexiko

Imepakana na Mexico (jimbo), Hidalgo na Puebla. Jimbo lina wakazi wapatao 1,068,207 (2005) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 4,016.

Gavana wa jimbo ni Héctor Ortiz Ortiz.

Lugha rasmi ni Kihispania.

Remove ads

Miji Mikubwa

  1. Vicente Guerrero (55,760)
  2. Apizaco (49,459)
  3. Huamantla (47,286)
  4. Chiautempan (46,776)

Viungo vya Nje



Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Tlaxcala (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads