Tombo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Tombo
Remove ads

Tombo (pia tomboo au tomboro) ni ndege wadogo wa jenasi kadhaa katika familia ya Phasianidae. Rangi yao ni kahawia na wana michirizi. Spishi nyingine zina rangi nyekundu na buluu. Kabla ya kuruka angani hungoja mpaka mtu ni karibu kuwakanyaga na huenda umbali fupi tu. Hula mbegu hasa lakini pengine hukamata wadudu pia. Hutaga mayai 6-18 ardhini.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...

Tombo wanatokea Afrika, Australasia na Ulaya. Kuna ndege huko Amerika ambao wana mnasaba na tombo, lakini wanaainishwa ndani ya familia Odontophoridae.

Remove ads

Spishi za Afrika

Remove ads

Spishi za mabara mengine

Remove ads

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads