Trento

From Wikipedia, the free encyclopedia

Trento
Remove ads

Trento ni mji wa Italia kaskazini wenye wakazi 117.317 (2016). Ndio makao makuu ya wilaya yenye jina hilohilo, na ya mkoa wa Trentino-Alto Adige.

Thumb
Mandhari ya mji.

Ni maarufu hasa kutokana na Mtaguso wa Trento (1545-1563) uliofanyika mjini humo.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads