Trento
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Trento ni mji wa Italia kaskazini wenye wakazi 117.317 (2016). Ndio makao makuu ya wilaya yenye jina hilohilo, na ya mkoa wa Trentino-Alto Adige.
Ni maarufu hasa kutokana na Mtaguso wa Trento (1545-1563) uliofanyika mjini humo.
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads