Kisiwa cha Tumbatu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kisiwa cha Tumbatu ni kati ya visiwa vya Wilaya ya Kaskazini A, mkoa wa Unguja Kaskazini, Zanzibar, nchini Tanzania, ambacho kinapatikana katika Bahari ya Hindi.

Historia

Kulikuwa mahali pa makazi ya Waswahili wa kale.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads