Tungi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Tungi ni kata ya Wilaya ya Kigamboni katika Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania, yenye postikodi namba 17103.
Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 30,785 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 23,380 waishio humo. [2]
Tungi ina mitaa 3 ambazo ni Tungi, Magogoni na Muungano.
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads