Tunguridi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Tunguridi ni ndege wadogo wa jenasi Pytilia katika familia Estrildidae ambao wanatokea Afrika tu. Wanafana na mishigi na wana rangi mbalimbali kama nyekundu, machungwa, njano na/au kijani. Hula mbegu hasa lakini wadudu pia, hususa makinda. Tago lao ni tufe la manyasi lenye mwingilio kwa kando. Jike huyataga mayai 3-4.
Remove ads
Spishi
- Pytilia afra, Tunguridi Mabawa-machungwa (Orange-winged Pytilia)
- Pytilia hypogrammica, Tunguridi Mabawa-njano (Red-faced or Yellow-winged Pytilia)
- Pytilia lineata, Tunguridi Domo-jekundu (Red-billed Pytilia)
- Pytilia melba, Tunguridi Mabawa-kijani (Green-winged Pytilia au Melba Finch)
- Pytilia phoenicoptera, Tunguridi Mabawa-mekundu (Red-winged Pytilia)
Picha
- Tunguridi mabawa-njano
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads