Tunguridi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Tunguridi
Remove ads

Tunguridi ni ndege wadogo wa jenasi Pytilia katika familia Estrildidae ambao wanatokea Afrika tu. Wanafana na mishigi na wana rangi mbalimbali kama nyekundu, machungwa, njano na/au kijani. Hula mbegu hasa lakini wadudu pia, hususa makinda. Tago lao ni tufe la manyasi lenye mwingilio kwa kando. Jike huyataga mayai 3-4.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Remove ads

Spishi

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads