Torino

From Wikipedia, the free encyclopedia

Torino
Remove ads

Torino ni mji wa Italia katika mkoa wa Piemonte. Ndio makao makuu ya mkoa.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka 2015, mji una wakazi wapatao 892,649 wanaoishi katika mji huu[1]. Mji upo m 240 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Thumb
Mole Antonelliana, 17-03-2011
Remove ads

Marejeo

Loading content...

Viungo vya nje

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads