Usimoni

From Wikipedia, the free encyclopedia

Usimoni
Remove ads

Usimoni ni dhambi ya kuuza au kununua vitu vitakatifu au nafasi ya uongozi katika Kanisa kama alivyotaka kufanya Simoni Mchawi kadiri ya Matendo ya Mitume (8:9-24).

Thumb
Abati akitenda kwa usimoni (Ufaransa, karne ya 12).

Dhambi hiyo imelaumiwa kuanzia karne ya 5 lakini ilizidi kutokea katika karne ya 9 na ya 10[1].

Hadi leo Sheria za Kanisa zinakabili tatizo hilo kwa kubatilisha uteuzi na kuadhibu wahusika[2].

Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads