Utete
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Utete ni kata ya Wilaya ya Rufiji katika Mkoa wa Pwani, Tanzania, yenye postikodi namba 61601.
Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 6,629 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 5,878 [2] walioishi humo.
Historia
Utete ilikuwa makao ya ofisi ya serikali tangu mwaka 1913 ambako serikali ya Afrika ya Mashariki ya Kijerumani iliamua kupeleka hapa makao makuu ya Mkoa wa Rufiji (DOA) kutoka Mohoro [3]. Kabla ya mwaka ule Utete ilikuwa sehemu ya Mkoa wa Kilwa.
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads