Van

From Wikipedia, the free encyclopedia

Van
Remove ads

Van (Kiarmenia: Վան, Kikurdi: Wan; kutoka Kiarmenia van - kijiji, makazi) ni mji ulipo mjini mashariki mwa nchi ya Uturuki. Huu ndiyo mji mkuu wa Mkoa wa Van, na upo upande wa mashariki mwa pwani ya Ziwa Van.

Thumb
Mji wa Van

Mji una idadi ya wakazi wapatao 284,464 (mwaka wa 2005).[1]

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads