Venansi, Anastasi na wenzao
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Venansi, Anastasi na wenzao Mauro, Pauliniani, Telio, Asteri, Septimi, Antiokiani na Gaiani (walifariki katika eneo ambalo leo liko nchini Kroasya, 257 hivi) walikuwa Wakristo waliouawa katika dhuluma ya Dola la Roma kwa sababu ya imani yao. Venansi alikuwa askofu wa Salona[1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads