Verona
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Verona ni mji wa Italia katika mkoa wa Veneto. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, kuna wakazi wapatao 265,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 59 juu ya usawa wa bahari.

Mji umo katika orodha ya urithi wa dunia ya UNESCO.
Remove ads
Tazama pia
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads