Kidole

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kidole

Kidole ni kiungo cha mwili kilichopo kwenye ncha ya mkono na mguu. Kwa kawaida mwanadamu huwa na vidole 5 kwenye kila mkono na kila mguu.

Thumb
Majina ya vidole vya mkono:
1 Kidole gumba, 2 Kidole cha shahada,
3 Kidole kirefu, 4 Kidole cha pete, 5 Kidole cha mwisho

Vidole vya mkononi vinakua kutoka kiganja vinaitwa kwa majina kama vile kidole gumba, kidole cha shahada, kidole cha kati, kidole cha pete na kidole cha mwisho. Ni viungo muhimu kwa kushika vitu na kutumia vifaa.


Ukweli wa haraka
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Funga
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.