Vigo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Vigo ni mji wa Hispania, katika mkoa wa Pontevedra.

Mwaka 2019 wakazi wake walikuwa 295,364 [1] na kuufanya wa kumi na nne nchini kwa wingi wa watu.

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads