Vinsenti Romano

From Wikipedia, the free encyclopedia

Vinsenti Romano
Remove ads

Vinsenti Romano (Torre del Greco, Campania, Italia, 3 Juni 1751 – Torre del Greco, 20 Desemba 1831) alikuwa padri mwanajimbo wa Kanisa Katoliki aliyefanya uchungaji kama paroko, akiwajibika sana katika malezi ya watoto na huduma kwa wafanyakazi na wavuvi[1].

Thumb
Mt. Vinsenti Romano.

Papa Paulo VI alimtangaza mwenye heri tarehe 17 Novemba 1963, halafu tarehe 14 Oktoba 2018 Papa Fransisko alimtangaza mtakatifu .

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads