Visia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Visia (alifariki Fermo, Marche, Italia, 250 hivi) alikuwa bikira aliyekatwa kichwa kutokana na imani yake wakati wa dhuluma ya kaisari Decius dhidi ya Wakristo[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads