Visini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Visini
Remove ads

Visini (kwa Kilatini: Vicinius; karne ya 3 - 330) alikuwa askofu wa kwanza wa Sarsina, Italia [1].

Thumb
Mt. Visini katika mozaiki mbele ya kanisa kuu la Sarsina.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 28 Agosti[2].

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Marejeo mengine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads