Vita ya wenyewe kwa wenyewe
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Vita vya wenyewe kwa wenyewe ni vita vinayopigwa ndani ya nchi kati ya vikundi vya taifa moja, tofauti na vita vya kimataifa.

Kuna aina nyingi jinsi vita vya wenyewe kwa wenyewe zinavyoweza kutokea:
- kati ya serikali na wapinzani wake wakiamua kutumia silaha
- kati ya vikundi visivyo vya serikali
- kama watu wa sehemu ya nchi wanataka kujitenga na taifa dhidi ya mapenzi ya serikali.
Vita vya aina hiyo huwa na ukali, vifo na uharibifu mwingi. Mara nyingi kanuni za vita haziangaliwi na raia wa kawaida huteseka.
Mifano ya nchi zenye vita za wenyewe kwa wenyewe ni:
- Afghanistan (tangu 1978)
- Lybia (tangu 2011)
- Kongo (tena tangu 2007)
- Somalia (tangu 1988/1991)
- Syria (tangu 2013)
Remove ads
Viungo ya nje
- Royal Air Force Doctrine – The Nature of War and Armed Conflict
- "What makes a civil war?", BBC News, 20 April 2006
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads