Voodoo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Voodoo
Remove ads

jina la kiungo

Thumb
Mchoro wa Papa Legba, tokeo la mungu linaloeleweka kwa binadamu.
Thumb
Vifaa vya ibada ya Vudu huko Port-au-Prince, Haiti.
Thumb
Ibada ya Vudu huko Jacmel, Haiti.

Voodoo au Vudu ni dini ya jadi yenye asili Afrika magharibi.

Kutoka huko watumwa walihama nayo hadi Amerika ya Kilatini, ilipochanganyikana na Ukristo wa Kanisa Katoliki.

Leo wafuasi wake wanaweza wakafikia idadi ya milioni 60, ikiwa dini rasmi ya Benin na Haiti.

Jina linatokana na neno lenye asili ya Kiafrika vodu, linalommanisha "roho", "mungu", au "ishara ya dhati".

Remove ads

Viungo vya nje

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads