Wadyula

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wadyula
Remove ads

Wadyula (au Wadioula au Wajuula) ni kabila la jamii ya kundi la Wamandé. Kabila hilo linaishi katika nchi kadhaa za Afrika Magharibi, zikiwemo Mali, Côte d'Ivoire, Ghana na Burkina Faso.

Thumb
Mkulima wa Kidyula amevaa kiremba cha kitenge cha Kidachi mnamo 1966

Hili ni tabaka la wafanyabiashara waliopata mafanikio makubwa: wahamiaji wa Dyula walianzisha jamii za kibiashara katika eneo hilo katika karne ya 14. Kwa kuwa biashara mara nyingi ilifanyika chini ya watawala wasio Waislamu, Wadyula walitengeneza seti ya misingi ya kidini kwa ajili ya Waislamu wachache katika jamii zisizo za Kiislamu. Mchango wao wa pekee katika biashara za umbali mrefu, elimu ya Kiislamu na uvumilivu wa kidini ulikuwa ni mambo muhimu katika upanuzi wa amani wa Uislamu katika Afrika Magharibi.

Remove ads

Marejeo

Viungo vya ne

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads