Wafiadini wa Mesopotamia waliochomwa moto
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Wafiadini wa Mesopotamia waliochomwa moto (walifia dini katika Mesopotamia, 303 hivi) walikuwa Wakristo ambao waliuawa namna hiyo, kichwa chini miguu juu, wakati wa dhuluma ya kaisari Maximian[1].
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads