Wahadzabe

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wahadzabe
Remove ads

Wahadzabe au Wahadza[1][2] ni kabila la Tanzania linaloishi hasa kandokando ya Ziwa Eyasi kwenye Bonde la Ufa na katika uwanda jirani wa Serengeti.

Thumb
Wahadzabe
Thumb
Maeneo ya uwindaji kwenye Serengeti.
Thumb
Wahadzabe wakivuta bangi.
Thumb
Wanaume wakirudi toka mawindoni.

Leo Wahadza hawafikii 1,000:[3][4] kati yao 300–400 wanaishi bado kwa kuwinda na kuchuma vyakula bila uzalishaji, kama waliofanya mababu wao tangu awali.[5]

Wahadza hawana undugu wa karibu na kabila lingine lolote, na vilevile lugha yao ni ya pekee kabisa.[6][7][8]

Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Marejeo mengine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads