Wahasidimu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Wahasidimu ni kundi la Wayahudi (kwa Kiebrania חסידות, hasidut, kutoka neno lenye maana ya "ibada").

Asili yake ni mwamko wa kiroho katika karne ya 18 ambao kutoka Ukraine magharibi ulienea haraka Ulaya Mashariki kote.
Israel Ben Eliezer, "Baal Shem Tov", anahesabiwa kuwa mwanzilishi wake.
Leo wafuasi wake ni 400,000 hivi, na wengi wao wako Marekani, Israeli na Ufalme wa Muungano.
Remove ads
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads