Wamaroni

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wamaroni
Remove ads

Wamaroni ni sehemu kubwa mojawapo ya watu wa Lebanoni, lakini siku hizi wengi zaidi wanaishi nje ya nchi hiyo asili.

Thumb
Kanisa kuu la Kimaroni la Alep (Syria).

Kinachowatambulisha zaidi, pamoja na historia yao, ni imani ya Kikristo katika Kanisa la Wamaroni, ambalo lina ushirika kamili na Papa wa Roma na Kanisa Katoliki lote duniani, ingawa linafuata mapokeo ya Antiokia.

Wanakadiriwa kuwa 3,500,000[1].

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads