Wamisionari wa Upendo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wamisionari wa Upendo
Remove ads

Wamisionari wa Upendo ni shirika la kitawa la Kanisa Katoliki lililoanzishwa na Mama Teresa huko Kolkata, India mwaka 1950[1], ili kusaidia watu walio fukara zaidi duniani kote[2] .

Thumb
Picha ya baadhi ya masista hao wakiwa wamewaa sare zao.

Kufikia mwaka 2020 masista wake, wakiwemo waliojifungia kusali tu na wanaohudumia watu pia, walikuwa 5,167 katika nchi 139.

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads