Warufiji

From Wikipedia, the free encyclopedia

Warufiji
Remove ads

Warufiji ni kabila la watu kutoka eneo la pwani ya Tanzania, karibu na Mto Rufiji. Mwaka 1987 idadi ya Warufiji ilikadiriwa kuwa 200,000 [1].

Thumb
Mto Rufiji

Lugha yao ni Kirufiji.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads