Werner Arber

From Wikipedia, the free encyclopedia

Werner Arber
Remove ads

Werner Arber (amezaliwa 3 Juni 1929) ni mwanabiolojia kutoka nchi ya Uswisi. Hasa alichunguza vipengele mbalimbali vya jeni.

Thumb
Werner Arber, 2018
Thumb

Mwaka wa 1978, pamoja na Daniel Nathans na Hamilton Smith alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Werner Arber kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads