1929
mwaka From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Makala hii inahusu mwaka 1929 BK (Baada ya Kristo).
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1890 |
Miaka ya 1900 |
Miaka ya 1910 |
Miaka ya 1920
| Miaka ya 1930
| Miaka ya 1940
| Miaka ya 1950
| ►
◄◄ |
◄ |
1925 |
1926 |
1927 |
1928 |
1929
| 1930
| 1931
| 1932
| 1933
| ►
| ►►
Matukio
- 11 Februari - Mkataba wa Lateran kati ya serikali ya Italia na Papa kuhusu mamlaka ya Mji wa Vatikani
- kuanzia Juni uchumi wa Marekani ulianza kuporomoka haraka na kusababisha Mdororo Mkuu katika uchumi za nchi zote duniani zilizofuata ubepari
- 29 Oktoba - "Jumanne Nyeusi" (Black Tuesday) ambako bei ya hisa za makampuni mengi zilishuka ghafla na mshtuko huu ulifuatwa na kufilisika kwa theluthi moja ya benki za Marekani
Remove ads
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2025 MMXXV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5785 – 5786 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2778 |
Kalenda ya Ethiopia | 2017 – 2018 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1474 ԹՎ ՌՆՀԴ |
Kalenda ya Kiislamu | 1447 – 1448 |
Kalenda ya Kiajemi | 1403 – 1404 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2080 – 2081 |
- Shaka Samvat | 1947 – 1948 |
- Kali Yuga | 5126 – 5127 |
Kalenda ya Kichina | 4721 – 4722 甲辰 – 乙巳 |
- 3 Januari - Sergio Leone, muongozaji wa filamu kutoka Italia
- 15 Januari - Martin Luther King, Jr., mchungaji na mwanaharakati kutoka Marekani
- 23 Januari - John Polanyi, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1986
- 30 Januari - Isamu Akasaki, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 2013
- 31 Januari - Rudolf Moessbauer, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1961
- 7 Machi - Dan Jacobson, mwandishi wa Afrika Kusini
- 8 Machi - Hebe Camargo, mwimbaji wa Brazil
- 22 Machi - P. Ramlee, mwigizaji wa Malaysia
- 5 Aprili - Ivar Giaever, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1973
- 4 Mei - Ronald Golias, mwigizaji wa filamu kutoka Brazil
- 6 Mei - Paul Lauterbur, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2003
- 3 Juni - Werner Arber, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1978
- 1 Julai - Gerald Edelman, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1972
- 28 Julai - Shirley Ann Grau, mwandishi kutoka Marekani
- 14 Agosti - Matthias Joseph Isuja, askofu mstaafu wa Jimbo Katoliki la Dodoma, Tanzania
- 15 Septemba - Murray Gell-Mann, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1969
- 13 Oktoba - Richard Howard, mshairi kutoka Marekani
- 31 Oktoba - Bud Spencer, mwigizaji filamu kutoka Italia
- 2 Novemba - Richard Taylor, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1990
- 7 Novemba - Eric Kandel, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2000
- 9 Novemba - Imre Kertesz, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 2002
- 6 Desemba - King Moody, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 13 Desemba - Christopher Plummer, mwigizaji wa filamu kutoka Kanada
- 19 Desemba - Howard Sackler, mwandishi kutoka Marekani
Remove ads
Waliofariki
- 4 Aprili - Karl Friedrich Benz, mhandisi Mjerumani na mtengenezaji motokaa
- 16 Juni - Vernon Louis Parrington, mwanahistoria kutoka Marekani
- 14 Septemba - Jesse Lynch Williams, mwandishi kutoka Marekani
- 23 Septemba - Richard Zsigmondy, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia, mwaka wa 1925
- 3 Oktoba - Gustav Stresemann, mwanasiasa Mjerumani, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1926
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads