Wilaya ya Bahi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Wilaya ya Bahi ni moja kati ya wilaya nane za Mkoa wa Dodoma, Tanzania yenye postikodi namba 413[1].

Makao ya halmashauri ya wilaya yapo Bahi mjini.

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Bahi ilihesabiwa kuwa 221,645 [2] Katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 322,526 [3].

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads