Wilaya ya Igunga
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Wilaya ya Igunga ni wilaya mojawapo kati ya 8 za Mkoa wa Tabora yenye postikodi namba 456.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 399,727 [1] Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 546,204 [2].
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads