Wilaya ya Igunga

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wilaya ya Igunga
Remove ads

Wilaya ya Igunga ni wilaya mojawapo kati ya 8 za Mkoa wa Tabora yenye postikodi namba 456.

Thumb
Mahali pa Igunga (kijani) katika mkoa wa Tabora.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 399,727 [1] Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 546,204 [2].

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads