Wilaya ya Ulanga

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wilaya ya Ulanga
Remove ads

Kwa matumizi tofauti ya jina hili tazama Ulanga (madini)

Thumb
Mahali pa wilaya ya Ulanga katika mkoa wa Morogoro kabla ya kumegwa ili kuanzisha Wilaya ya Malinyi.

Wilaya ya Ulanga ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Morogoro, Tanzania, yenye Postikodi namba 676.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 194,209 walioongezeka kuwa 265,203 wakati wa sensa ya mwaka 2012.[1] Katika ile ya mwaka 2022, baada ya wilaya kumegwa, walihesabiwa 232,895 [2].

Makao makuu ya wilaya yapo Mahenge Mjini.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads