Wilaya ya Urambo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Wilaya ya Urambo ni wilaya mojawapo kati ya 8 za Mkoa wa Tabora yenye postikodi namba 455.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 370,796 [1]. Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 260,322 [2] baada ya maeneo ya magharibi kukatwa ili kuunda wilaya ya Kaliua.
Sehemu hii ilikuwa kiini cha utemi wa Urambo ambako mtemi Mirambo alijenga milki yake.
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads