Wilaya ya Urambo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wilaya ya Urambo
Remove ads

Wilaya ya Urambo ni wilaya mojawapo kati ya 8 za Mkoa wa Tabora yenye postikodi namba 455.

Thumb
Mahali pa Urambo (kijani cheusi) katika mkoa wa Tabora kabla ya kumegwa.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 370,796 [1]. Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 260,322 [2] baada ya maeneo ya magharibi kukatwa ili kuunda wilaya ya Kaliua.

Sehemu hii ilikuwa kiini cha utemi wa Urambo ambako mtemi Mirambo alijenga milki yake.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads