Chi Zhuze
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Chi Zhuze (pia: Xi Guizi; Dezhaoin, 1882 hivi - Dechao, mnamo Juni au Julai 1900) alikuwa mvulana mkatekumeni wa China aliyefia Ukristo wakati wa Uasi wa Waboksa. Hao walipofanya fujo, Chi alijitambulisha kama Mkristo akapigwa vibaya hadi kufa, akibatizwa hivyo katika damu yake [1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe 20 Julai[2].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads