Yakobo Berthieu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Yakobo Berthieu, S.J. (Polminhac, Cantal, Ufaransa, 27 Novemba 1838 - Ambiatibe, Madagaska, 8 Juni 1896) alikuwa padri na mmisionari Mjesuiti nchini Madagaska [1].

Wakati wa amani na vilevile wakati wa vita alijitosa kueneza Injili, na kisha kufukuzwa mara tatu kutoka misheni yake, alipigwa mateke na kudaiwa aasi dini ya Kikristo, hatimaye aliuawa kwa chuki dhidi ya imani hiyo katika Uasi wa Menalamba mwaka 1896, akipata hivyo kuwa mfiadini.
Papa Paulo VI alimtangaza mwenye heri tarehe 17 Oktoba 1965 na Papa Benedikto XVI alimtangaza mtakatifu tarehe 21 Oktoba 2012 wa kwanza kutoka nchi hiyo.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Vyanzo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads