Yellowman

From Wikipedia, the free encyclopedia

Yellowman
Remove ads

Winston Foster[1] (anajulikana zaidi kwa jina la kisanii Yellowman na pia kama King Yellowman) ni mwimbaji wa reggae na dancehall kutoka Jamaika. Alianza kupata umaarufu Jamaika miaka ya 1980, akipata sifa kubwa kupitia mfululizo wa nyimbo zilizomjengea jina.[2]

Thumb
Yellowman akitumbuiza mwaka 2007

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads