Yohakimu He Kaizhi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Yohakimu He Kaizhi (Zhazuo, 1782 hivi - Guiyang 9 Julai 1839) alikuwa katekista wa China aliyenyongwa hadi kufa kwa ajili ya imani ya Ukristo[1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads