Yohane Mbatizaji Scalabrini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Yohane Mbatizaji Scalabrini
Remove ads

Yohane Mbatizaji Scalabrini (Fino Mornasco, Como, 8 Julai 1839Piacenza, 1 Juni 1905) alikuwa askofu mmojawapo wa Kanisa Katoliki huko Italia Kaskazini na mwanzilishi wa mashirika ya Wamisionari wa Mt. Karolo na Masista Wamisionari wa Mt. Karolo kwa ajili ya wahamiaji nchini Marekani[1].

Thumb
Picha yake halisi.

Alistawisha jimbo la Piacenza kwa kila namna, aking'aa kwa juhudi zake kwa ajili ya mapadri, wakulima na wafanyakazi wenye kipato cha chini[2][3].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 9 Novemba 1997 na Papa Fransisko alimtangaza mtakatifu tarehe 9 Oktoba 2022.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads