Yohane Wu Wenyin
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Yohane Wu Wenyin (Dongertou, 1850 hivi - Dongertou, 8 Julai 1900) alikuwa katekista wa China aliyefia imani ya Ukristo wakati wa Uasi wa Mabondia[1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.
Sikukuu yao ya pampoja huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe ni tarehe 8 Julai[2].
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads