Yohane Wu Wenyin

From Wikipedia, the free encyclopedia

Yohane Wu Wenyin
Remove ads

Yohane Wu Wenyin (Dongertou, 1850 hivi - Dongertou, 8 Julai 1900) alikuwa katekista wa China aliyefia imani ya Ukristo wakati wa Uasi wa Mabondia[1].

Thumb
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao ya pampoja huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe ni tarehe 8 Julai[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads