Yosefu wa Kopertino

From Wikipedia, the free encyclopedia

Yosefu wa Kopertino
Remove ads

Yosefu wa Kopertino (Copertino, Puglia, 17 Juni 1603Osimo, Marche, 18 Septemba 1663) alikuwa padri wa utawa wa Ndugu Wadogo Wakonventuali.

Thumb
Yosefu wa Copertino Picha kutoka kitabu cha Paul Guerrin, "Les Petites Bollandistes: Vies de Saints," 1882.
Thumb
Mt. Yosefu hewani katika mchoro wa Ludovico Mazzanti (karne ya 18).

Mtu wa sala hasa, alijaliwa karama za pekee, hasa ile ya kuelea hewani kwa muda mrefu wakati wa kutoka nje ya nafsi. Jambo hilo lilimsababishia matatizo mengi aliyoyavumilia vizuri, akizidi kung'aa kwa unyenyekevu, ufukara na upendo kwa waliomtamani Mungu[1].

Alitangazwa na Papa Benedikto XIV kuwa mwenye heri tarehe 24 Februari 1753, halafu Papa Klement XIII alimtangaza mtakatifu tarehe 16 Julai 1767.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads