Yothamu wa Yuda

From Wikipedia, the free encyclopedia

Yothamu wa Yuda
Remove ads

Yothamu (kwa Kiebrania: יוֹתָם, Yōtam, Yōṯam, "Mungu ni mwadilifu"; kwa Kigiriki: Ιωαθαμ, Ioatham; kwa Kilatini: Joatham)[1] alikuwa mfalme wa Yuda kwa miaka 16, akimrithi baba yake Uzia wa Yuda (2 Fal 15:33 na 2 Nya 27:1) hadi alipoondolewa madarakani na wapinzani na hatimaye kurithiwa na mwanae Ahazi.

Thumb
Yothamu katika Promptuarii Iconum Insigniorum, kazi ya Guillaume Rouillé, 1553.

Wakati wake walifanya kazi manabii Amosi, Isaya na Mika.

Injili ya Mathayo inamtaja katika orodha ya vizazi vya Yesu.

Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads