Zainab Athman Katimba

Mwanasiasa wa Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Zainab Athman Katimba (amezaliwa 4 Aprili 1990) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti Maalum kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads