Zamadamu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Zamadamu
Remove ads

Zamadamu walikuwa wanyama wenye umbile lililokaribiana na mwili wa binadamu kuliko hata sokwe.

Thumb
Australopithecus sediba.

Binadamu wanadhaniwa kuwa walitokana na hao wa kwanza miaka laki kadhaa iliyopita, labda kwa kupitia spishi nyingine za jenasi "homo".

Kwa sasa hakuna tena zamadamu hai duniani, ila mabaki ya mizoga yao yanazidi kupatikana hasa barani Afrika.

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads